Tanzanian talented singer, Alikiba is back with this brand new song titles “Bwana Mdogo” featuring super Nigerian dancehall singer, Patoranking.
Moreover, Alikiba has recently work with Nigeria music artiste like Mayorkun and Rudeboy on a song tagged “Jealous” and “Salute” respectively.
Finally, Bwana Mdogo by Alikiba is a top track off his forthcoming album “Only One King“ dropping this weekend.
LYRICS Alikiba – Bwana Mdogo ft Patoranking
(Yogo on the Beats)
My gal we ni matata, body matata mbaya eeh
Bwana mdogo umenikamata, unanicheza kama karata
Tulikutana kule Cape Cape town
Mpaka Accra Town dowtown, eeh
Eti una sifa za kudanga
Na mengi wanasema sijaona
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo
Mmmh yeah yeah yeah
—–
Patoranking
—–
Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wivu umewaingia, Mungu kanionyesha ishara
Ndege wanashangilia na nitakupeleka ulaya
Wakiniona wananiita (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Hawajui ninachofanya mi (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Nikitema unashiba (Bwa mdogo)
Bwana mdogo, bwa mdogo
Kilimanjaro napanda mie (Bwa mdogo)
Bado bwana mdogo, bwa mdogo